Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,136
- 4,298
NA BIFU NA ADIMINI.
1)nione sina adabu,ukweli nikuambie.
Niseme kilo nisibu,upende na uchukie
Acha nipige ulabu,na haya inikimbie.
Na bifu na adinimi,natamani nikuteke.
2)ni mbaya yako tabia,niseme usizuie.
Hivi ulishatubia,shetani akukimbie.
Ona unavyochukia,wataka nikuchunie.
Na bifu na adimini,matamani nikuteke.
3)kisa kundi li ni lako,basi chako siyo chake.
Kundi halina mashiko,kama kaa la mashuke
Adimini ka tambiko,si ni bora uondoke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
4)kazi kututoa toa,lini nawe uondoke.
Wengi wetu twachukia,hatutaki turopoke.
Hapa tulipo fikia,twatamani uanguke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
5)adimini ka mganga,nyota yako si mashuke.
Roho mbaya ka kipanga,kama bomu ulipuke.
Hivi unakula unga,kama teja la temeke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
Shairi=NA BIFU NA ADIMINI.
Mtunzi=Idd Ninga wa Tengeru Aruaha.
+255624010160
iddyallyninga@gmail.coa
1)nione sina adabu,ukweli nikuambie.
Niseme kilo nisibu,upende na uchukie
Acha nipige ulabu,na haya inikimbie.
Na bifu na adinimi,natamani nikuteke.
2)ni mbaya yako tabia,niseme usizuie.
Hivi ulishatubia,shetani akukimbie.
Ona unavyochukia,wataka nikuchunie.
Na bifu na adimini,matamani nikuteke.
3)kisa kundi li ni lako,basi chako siyo chake.
Kundi halina mashiko,kama kaa la mashuke
Adimini ka tambiko,si ni bora uondoke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
4)kazi kututoa toa,lini nawe uondoke.
Wengi wetu twachukia,hatutaki turopoke.
Hapa tulipo fikia,twatamani uanguke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
5)adimini ka mganga,nyota yako si mashuke.
Roho mbaya ka kipanga,kama bomu ulipuke.
Hivi unakula unga,kama teja la temeke.
Na bifu na adimini,natamani nikuteke.
Shairi=NA BIFU NA ADIMINI.
Mtunzi=Idd Ninga wa Tengeru Aruaha.
+255624010160
iddyallyninga@gmail.coa