Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Wanajamvi last week nilienda kule,nashukuru kwa kampani ya Cacico,Bishanga,Preta,Gwangambo,Erickb52,switlady na wengineo,but the mission was un accomplished,tommorow i'm going back there na safari hii Juma Mgaza ajiandae kuokota mtu.ila naomba mwenye BASTOLA aniazime,sina mchezo,Saint Ivuga niazime ile yako, ikishindikana kama kuna mwenye ile kama ya MALIMA ile kubwa niazimeni afu subirini majibu ya kiinteligensia toka kwa KOVU! Nitakieni kila la heri!