Computer sio intelligent zaidi ya binadamu....Mpaka leo watalamu wa kitu kinaitwa artificial neurons wameshindwa kuiga reasoning process ya binadamu kwa asilimia..Computer inamzidi binadamu kwenye umakini tu wa tasks kubwa lakini sio suala la intelligence.. Kama unabishaa niendelee kukupa somo....Computer itakuwa intellligent zaidi ya binadamu iwapo itaweza kujifunza kama binadamu na kufanya ugunduzi kama binadamu.