Nina 5mil nahitaji gari

Hongera umejikomboa kula vumbi na kuwakiwa jua.....mie bado nasubiria uchaguzi uishe, member watulie waniletee gari nililotangaza nahitaji.

Ok poa ukitaka kunajamaa yupo poa sana ni dalali anahuhakika na gari zake kabla hajauza
 
Ok poa ukitaka kunajamaa yupo poa sana ni dalali anahuhakika na gari zake kabla hajauza

Sawa mkuu, je ila kumbuka offer ilikuwa pungufu ya 5m japo mhusika alitaka 4WD ............MWINGINE anahitaji zile PickUP ndogo NissanSunny vifupiiiiii...unacho?
 
A ha kumkatisha mwenzako tamaa mil 5 nyingi unapata gari safi kabisa za kulenga kwa WATU, pass namba D pia unapata kwahiyo PESA ya kulenga, wala aside na haraka.
Hiyo Passo No D kwa 5m labda ya wizi.
 

Aisee.......nilikuwa natafuta sana hii........na rafiki zangu wengine nao walikuwa wanataka.......ngoja niwaite.......
Kaizer...... MANI..... RRONDO........ Mshana Jr...........
 
Last edited by a moderator:
Aisee.......nilikuwa natafuta sana hii........na rafiki zangu wengine nao walikuwa wanataka.......ngoja niwaite.......
Kaizer...... MANI..... RRONDO........ Mshana Jr...........

Mhh freight haipungui dollar 950.00 jaai 350.00 sasa dollar 2100 pamoja na ushuru?
 
Last edited by a moderator:
Kuna toyota corola namba A, milioni sita, ipo road inafanya kazi na haina tatizo lolote. Ukitaka nipm
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…