Rahim usanga
Member
- Dec 26, 2011
- 19
- 4
Guys,cjui nfanye nini coz nina 3.16 ya HKL-(ees)lakin nina F ya GS.Hapo ndo pananichanganya maana nilipenda kusomea LAW au MASS COMMUNICATION,lakini cjui cha kufanya naomba ushauri.je,nkifanya kazi kwanza naweza kusoma baadae?mfano kama nikaapply polisi/jeshi itawezekana?kama ndio naomba channel plz.