Nimwacheje huyu mama?

Tatizo lipo kwa huyo kijana. Miaka 33 ni MTU mzima na anao uwezo wa kujisimamia. Anaonekana bado ni kijana kifikra na kimaamuzi ndio maana analia lia eti anaharibiwa.

Huyo mama anamuharibiaje kwa watu ambao hawaishi karibu wala kufanya kazi pamoja?
 
Mwandiko wako ni mbovu sana
 
Neno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiumize kichwa yeye amuomba huyo mwanamke tigo basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…