Hello wana FJ.
Acha kupaka rangi upepo wewe...
Hapao kwenye wino kuna error, lakini sio mbaya najua yote ni stress tu kasababisha huyo kijana mpole, lakini si unajua wanasema kimya kingi kina mshindo, kaa usubiri uone may be utajua nini kinachoendelea by the way pole sana
Unamaanisha nini? Kama kuhusu mchepuko ni Kweli siwezi. Sijawahi na ninamuomba mungu aniendeleze hivyo . kwa maana najua how much it hurts nimeumizwa before kwa hiyo hiyo michepuko . Na niliachana na ex wangu kwa sababu ya hiyo hiyo michepuko . Kwa hiyo kama utaamini sawa kama hutaamini pia sawa. Siwezi kukulazimisha . Asante.
Maana yake ushaachwa...
Mmh hii scenario mbona kama naifahamu vile! Ungeweka tu nchi ningepata uhakika!
Anyway, POLE SANA! Umemiss sauti yake, lakini huna jinsi. Fanya shughuli zako, akijisikia atarudi, utajua kilichomsibu!
Pole sana kwa maumivu...natamani nikupe nguvu ya kumpotezea maana mtu kama huyo hana nia na wewe..atakuja kukuzingua zaidi..
Ni wewe nini ? Weka jina lako, na acha kuchezea maisha na moyo ya watu .
Badili jina, like: loveissour inaweza kukupunguzia mawazo mpendwa!!