ukisha kumwoa huwezi kumwacha kwa sababu za utani utani kama hizo.........................sababu za kumwacha ni kama una ushahidi usiopingika kuwa ni mwasherati tu.............hayo mengine uliaapa kuwa utayavumilia.....................endelea kuyavumilia huku ukisali na kufunga.............ukishinda mtihani huo Muumba atakuzawadia maradufu sana................ukishindwa huo mtihani Muumba takutumia maadui zako ambao utawatumikia..........................sura zao zitakuwa murua lakini roho zao zitakufanya umkumbuke huyu ambaye umemtelekeza..........so put up and shut up as well..........................you are a man..............are you not?