Nimuachaje D?


Upo sahihi mkuu. Asante.
 
Bila Shaka huyu 'M' atakuwa pochi nene kwahiyo wasiwasi wako akigundua atakata umeme

Ushauri wangu kwawanawake kama 'D' mjitahidi sana kutafuta pesa uzuri wenu niwakawaida sana kwahiyo kitakachowabeba Sio2 mapenzi yenu yadhati bali hata mkiwa napochi nene pia itawaongezeeni CV maana kwaduni yaleo wanaume halisi tunaenda tunapungua kwakasi yaajabu sana
 

Twende kazi kaka achana na uoga wa karma, pengine wewe ndio karma ya D kwa kumuacha boyfriend wake, inawezekana alimuacha bila sababu ili awe na wewe so ni mipango ya Mungu wewe kumuacha ili naye ajifunze.

Kamata tu M huyo na wewe akija kukutenda sio ishu Ndio maisha yalivyo cha msingi ni kwamba utakuwa na furaha.
 

Positive minded
 
Asomee hii comment mara 100 atatoka na uamuzi sahihi..
 
Dooh mapenzi bana...muache D maana utamuumiza tu ukiendelea kubakinae.kwenye mpenzi kama unaona zaidi kasoro alizonazo mtu kuliko mazuri yake bora uache aende kuliko kuendelea kumshikilia kwa uongo na kweli
 
mkuu kuna lile tatizo la researchers linaloitwa objectivity ndo limekukumba hapo. kwamba unavutia kule u akokutaka wewe.

of course wewe ndo mwamuzi wa mwisho kwenye hilo.


Kwa gharama yoyote, weka kipimo kitakacho au mtego utakaokuonyesha yupi atakufaa. ukiona ni D usimnyime haki yake.

chukua anayekupenda kuliko unavyompenda. Tatizo lako kupenda uzuri wa sura halitaishia kwa M pekee, utamzoea na utakuja kupata mwingine tena ujitie dilemma la kixenge tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…