Habari za saa hizi wanajamvi!
Nimekuwa nikisumbuliwa na rushes, matango tango kwa muda mrefu sasa, nimewahi kutumia Gentilene na dawa nyingine za kupaka but sijaona improvement yoyote, naombeni mnielekeze mahali ambapo ntampata daktari wa magonjwa ya ngozi.
Natanguliza shukrani!
mimi niko Dar, asante kwa kuwa tayari kunisaidia
bado yupo mkuu?Sijui upo mkoa gani,kwa Dar nenda pale dispensary ya UDSM monday to friday b4 noon,kuna daktari wa ngozi,they say ni mzuri
Bado yupo anaitwa Nchobebado yupo mkuu?
Sorry, boss na mm npo Arusha naomba namba ya huyo doctor boss cz na mm pia nasumbuliwa na ugonjwa wa ngoziUko wapi Mwiyuzi?
Kama upo Arusha nikupe nambari ya simu ambayo nina Imani utakuwa umemaliza tatizo lako la ugonjwa tajwa!