Nimeumia sana: mke wangu kamsifia baba kele eti anamtunza vizuri mke wake.

Mwambie akaolewe na baba kele, wala isiwe shida.
 
Unaonekana unashida ya kucontrol hasira ya maisha mfano tu unampiga ukimkuta baba kele ndani siutaishia jela
 
Kwamaneno niliyoyaandika hapo nimefupisha tu ukwel alinisomea mengi mengne ni siri yangu tu
Unaonekana unashida ya kucontrol hasira ya maisha mfano tu unampiga ukimkuta baba kele ndani siutaishia jela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…