exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,189
- 3,684
Kuna jirani yangu mmoja anaitwa baba kele, sasa jana tukiwa tunazungumza na wife mipango ya hapa napale, sehem alikokua ametembelea jion jion kuna nguo katka duka fulani alikua ameiona akaniomba pesa ili akaichukue kwakua kwa mda huo skua na pesa nikamwambia apoe tu siku zijazo nitampatia pesa ataenda achukue maana nguo madukani haziishi
Kwa zarau na kunikosea heshima wife akanijibu, et mmewangu hujifunzi hata kwa wanaume wenzio? Unamwona mama kele anavyotunzwa na mmewake?,,,aah mimi nipe hela nikailipie hio nguo buana
Nilichukia sio siri nikajikuta nampa vibao sijawai kumpiga mke wangu ila kwahili nimeona anataka kuniletea zarau.
Imetumwa na Exalioth
Natumia app ya jamiiforums
Kwa zarau na kunikosea heshima wife akanijibu, et mmewangu hujifunzi hata kwa wanaume wenzio? Unamwona mama kele anavyotunzwa na mmewake?,,,aah mimi nipe hela nikailipie hio nguo buana
Nilichukia sio siri nikajikuta nampa vibao sijawai kumpiga mke wangu ila kwahili nimeona anataka kuniletea zarau.
Imetumwa na Exalioth
Natumia app ya jamiiforums