Hashimu lwenje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 415
- 359
Hivi ni kweli watanzania huwa tunakosa Commonwealth Scholarship?
Nimetumia muda wangu na pesa zangu nyingi kuapply commonwealth Scholarship, ambazo zilitangazwa na TCU lakini nmesikitika sana kuandikiwa email leo kuwa HAUJAFANIKIWA KWASABABU WIZARA YAKO YA ELIMU HAIJAWEZA KUKU NOMINATE.
Nimeskitika sanaa,
Haina haja ya kunitangazia Scholarship mtoto wa maskini alafu unashindwa kuni nominate, natumia gharama zangu nyingi kujaza form tena usku, kuscan, kuprint, kusatifai vyeti, pamoja na gharama za kutuma posta, lkn bado tena naikosa.
Nimetumia muda wangu na pesa zangu nyingi kuapply commonwealth Scholarship, ambazo zilitangazwa na TCU lakini nmesikitika sana kuandikiwa email leo kuwa HAUJAFANIKIWA KWASABABU WIZARA YAKO YA ELIMU HAIJAWEZA KUKU NOMINATE.
Nimeskitika sanaa,
Haina haja ya kunitangazia Scholarship mtoto wa maskini alafu unashindwa kuni nominate, natumia gharama zangu nyingi kujaza form tena usku, kuscan, kuprint, kusatifai vyeti, pamoja na gharama za kutuma posta, lkn bado tena naikosa.