Nimeua kipaji changu, nafsi yangu inaniuma sana

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,013
8,369
nianze kwa swali dogo?

Mwana fasihi ni nani?

je ni kweli Mwanafasihi ni mtu wa kwanza kuumbwa na mwenyezi Mungu ili apate kuwatumia kuujuza ulimwengu?

Nakumbuka nikiwa kidato cha tatu nilipata kutunga hadithi niliyoipa jina Mke wangu jifungue tuondoke jiji ili si la kulelea,hadithi hii mpka wa leo iko kwa wahariri haijawai rid.

nilipofika kidato cha nne nikatunga hadithi niliyoiita WOWO la BIBI KIZEE.. hii ilichapishwa na vyomvyo vya habari.

kidato cha Tano nilitunga hadithi iliyobeba,jina la SIKUDHANI

Riwaya yangu ya mwisho ilikuwa ikiitwa SAfARI kwenda KABURINI.

kipaji changu cha utunzi ni ulithi kutoka kwa Mwanafasihi Bailu katama mwandishi wa Sokoni kariakoo. na vingine vingi

umaskini umenifanya niizike fani yangu
 
nianze kwa swali dogo?

Mwana fasihi ni nani?

je ni kweli Mwanafasihi ni mtu wa kwanza kuumbwa na mwenyezi Mungu ili apate kuwatumia kuujuza ulimwengu?

Nakumbuka nikiwa kidato cha tatu nilipata kutunga hadithi niliyoipa jina Mke wangu jifungue tuondoke jiji ili si la kulelea,hadithi hii mpka wa leo iko kwa wahariri haijawai rid.

nilipofika kidato cha nne nikatunga hadithi niliyoiita WOWO la BIBI KIZEE.. hii ilichapishwa na vyomvyo vya habari.

kidato cha Tano nilitunga hadithi iliyobeba,jina la SIKUDHANI

Riwaya yangu ya mwisho ilikuwa ikiitwa SAfARI kwenda KABURINI.

kipaji changu cha utunzi ni ulithi kutoka kwa Mwanafasihi Bailu katama mwandishi wa Sokoni kariakoo. na vingine vingi

umaskini umenifanya niizike fani yangu



Dunduliza buku 7 za Lumumba zikukwamue kuendeleza kipaji chako.
 
Sijaelewa umasikini umeingiaje hapo kwenye kuzika fani na kipaji chako. Ni wewe ndio umekizika kipaji.

Kwani kuna mafunzo ya juu pengine sielewi au kuna chama chenu inabidi ujiunge na kunahitaji malipo? Nimesoma nikarudia nikasoma tena, sijaelewa ni kwa vipi kipaji na umasikini vimehusika kwenye kesi yako.

Akili yako imekiua imekitelekeza kipaji chako, ukiamua unakiendeleza na kufika mbali.
 
[

kipaji changu cha utunzi ni ulithi kutoka kwa Mwanafasihi Bailu katama mwandishi wa Sokoni kariakoo. na vingine vingi

umaskini umenifanya niizike fani yangu[/QUOTE]

Kwenye huo uandishi wako jitahidi huzingatia sheria za uandhishi Mkuu.

Usinchanganye pale inapohitajika herufi kubwa basi ufanye hivyo na isiwe vinginevyo na matumizi sahihi ya ''r'' na ''L''
 
umekosa kukiboresha tu kama ungeenda kwenye redio ndogo ndogo na kubwa , uamue kutoa liwaya zako watu wangezijua, ungeshakua shaban robati sahv
 
Back
Top Bottom