Lupamba's grandson JF-Expert Member Joined Jan 9, 2015 Posts 1,230 Reaction score 1,199 Dec 8, 2018 #21 Hahahaa katoto bana sio mimi kwelki? katoto kazuri said: Kuna mtu amenicall amesema nitaona nitajuta kumjua sasa simjui ninani. Hapa naogopa tena kasema i am watching you. Click to expand...
Hahahaa katoto bana sio mimi kwelki? katoto kazuri said: Kuna mtu amenicall amesema nitaona nitajuta kumjua sasa simjui ninani. Hapa naogopa tena kasema i am watching you. Click to expand...
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,258 Reaction score 55,856 Dec 8, 2018 #22 ha ha ha na wewe mtishe;maisha yako nje ya jf yakoje?
Mgugu JF-Expert Member Joined Jul 1, 2015 Posts 2,165 Reaction score 4,404 Dec 8, 2018 #23 katoto kazuri said: Sasa nimekukosea nini jamani Click to expand... Tatizo lako unakula pesa za watu halafu hautaki kutoa.
katoto kazuri said: Sasa nimekukosea nini jamani Click to expand... Tatizo lako unakula pesa za watu halafu hautaki kutoa.
Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 37,258 Reaction score 55,856 Dec 8, 2018 #24 katoto kazuri said: Kweli 4 mmoja wapo niwewe unayeongoza Click to expand... ha ha ha njoo tupige ulabu huku
katoto kazuri said: Kweli 4 mmoja wapo niwewe unayeongoza Click to expand... ha ha ha njoo tupige ulabu huku
katoto kazuri JF-Expert Member Joined Feb 10, 2018 Posts 6,126 Reaction score 5,758 Dec 8, 2018 Thread starter #25 Mgugu said: Tatizo lako unakula pesa za watu halafu hautaki kutoa. Click to expand... Wala sijala hela ya mtu na ukame huu.
Mgugu said: Tatizo lako unakula pesa za watu halafu hautaki kutoa. Click to expand... Wala sijala hela ya mtu na ukame huu.
Mgugu JF-Expert Member Joined Jul 1, 2015 Posts 2,165 Reaction score 4,404 Dec 8, 2018 #26 katoto kazuri said: Wala sijala hela ya mtu na ukame huu. Click to expand... Sio kweli katoto kazuri, hakuna mwanaume wa kukutisha ikiwa bado haujamlia visenti vyake, la sivyo huyo ni mwanamke mwenzio utakua umemuibia mume au mpenzi wake.
katoto kazuri said: Wala sijala hela ya mtu na ukame huu. Click to expand... Sio kweli katoto kazuri, hakuna mwanaume wa kukutisha ikiwa bado haujamlia visenti vyake, la sivyo huyo ni mwanamke mwenzio utakua umemuibia mume au mpenzi wake.