Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,043
Hahahahaaaaaa!!!!!!Matusi yanewazidi kila kitu wanaume wadar hadi keroBaada ya post mbalimbali hapa jf kuhusu wanaume wa Dar nimeamua kuja kujionea mwenyewe kama ni hadithi za kutungwa au ni kweli!90% ya post zinazosema mwanaume wa Dar ni lege lege ni kweli kabisa!
Tena simalizi hata wiki aisee!Kama umekuja Dar na wewe mwanaume wa Dar... Labda uondoke haraka!
Hahahaa!acha waonge tu hamna namba nyingineLkn wanahonga kinoma wwnapendwa na wanawake acha tu
Umethibitisha wanakwenda dakika ngapi kwa round moja?Baada ya post mbalimbali hapa jf kuhusu wanaume wa Dar nimeamua kuja kujionea mwenyewe kama ni hadithi za kutungwa au ni kweli!90% ya post zinazosema mwanaume wa Dar ni lege lege ni kweli kabisa!