Nimethibitisha kuwa ni kweli!

Baada ya post mbalimbali hapa jf kuhusu wanaume wa Dar nimeamua kuja kujionea mwenyewe kama ni hadithi za kutungwa au ni kweli!90% ya post zinazosema mwanaume wa Dar ni lege lege ni kweli kabisa!
Hahahahaaaaaa!!!!!!Matusi yanewazidi kila kitu wanaume wadar hadi kero
 
Baada ya post mbalimbali hapa jf kuhusu wanaume wa Dar nimeamua kuja kujionea mwenyewe kama ni hadithi za kutungwa au ni kweli!90% ya post zinazosema mwanaume wa Dar ni lege lege ni kweli kabisa!
Umethibitisha wanakwenda dakika ngapi kwa round moja?
 
waacheni marioo wetu jamani mbona kuwasakama, wenyewe tushawazoea love story nyingi vitendo ndoho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…