- Thread starter
- #41
Ahsante ntaedit ila nimesomea
Bachelor of chemical processing engineering and master of pharmacetical engineering.
Nimemaliza 2020 Algeria
Ahsante ntaedit ila nimesomea
Bachelor of chemical processing engineering and master of pharmacetical engineering.
Nimemaliza 2020 Algeria
This comment is very misleading. NitafafanuaAs.processional
Sorry kma.ntakukwaza broo but napebda kujua ulishawahi kujiuliza kuwa hyoo professional yako ya Pharmaceutical engineering ina direct link na pharmacy profession ambayo iko chin ya pharmacy Council bro?????
Mm nakushauri kma pharmacist
AnZa hiv fika ofis za pharmacy Council ujue how you can be enrolled,enlisted or registered na kama kutakuwa na vigezo hujavifikia vya kuwa registered basi ufanye hima ukavikamilishe
Sikutishi ila nakwambia uhalisia tuu kuwa itakuwa ngumu sana kupewa ajira na taasisi yoyote inayohusika na usambazaji,uingizaji,uzalishaji,uuzaji,ufundishaji na utumiaji wa dawa ingali ww hutambuliki na pharmacy Council yaan hawawez kurisk taasisi zao kwa kukupa ajira mtu usietambulika na wizara hata vyuo havitakupa ajira maana TMDA,PCT Wote hao wakipita hapo kwny hyo taasisi unayoitumikia wakukute unajihusisha na issue yoyote ya dawa ingali huna usajili wa PCT brother adhabu yake ni.kifungo miaka 3 mpk 5 na fine juu kwa mujibu wa sheria za PCT
fanya hvyoo kwa ushauri mwingine karibu sana
fafanua mkuuThis comment is very misleading. Nitafafanua
Nimeshauri tuu kwa kidgo ninachokijua boss unaweza kuongeza au kukosoa bossThis comment is very misleading. Nitafafanua