kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Ahsante naomba muongozo ni wapi MSD ?
Ipo kurasini.. jaribu pia na NIMR ipo mitaa ya ocean road kule ikulu
Ahsante naomba muongozo ni wapi MSD ?
mkuu let's be friends..napenda kuwa na marafiki walionizidi elimu nijifunze toka kwao..Suala lako hilo si uende pale MSD MABIBO.Habari zenu,
Mimi nimemaliza uhandisi wa chemia na pia nna master ya uhandisi wa dawa naomba msaada wenu kwenye connection za ajira ya aina yeyote.
Pia naweza kutengeneza vipodozi kwa yeyte atakaehitaji kutengenezewa formula anaweza kuntafuta hata kama umefungua kiwanda unahitaji formula.
Pia naweza kufundisha.
Ahsanteni
Ipo kurasini.. jaribu pia na NIMR ipo mitaa ya ocean road kule ikulu
Naweza kuja inbox chief ?
Zitafute Shellys pharmaceuticals, Keko pharmaceuticals n.k. huna wenyeji hapo Dar kama wewehuyajui hayo makampuni ya madawa. Nina imani hata makampuni ya soda unaweza kufanya kazi, yatafute.
Uko nje umejifunza nini mkuu
Mkuu cheki hii sijui kama itakua within your professionVingi tu
Mkuu cheki hii sijui kama itakua within your professionView attachment 1712198
Mkuu, hebu jaribu ku apply hiki iwanda kipya cha dawa cha Kairuki, kuna nafasi nyingi nyingi walitangaza, jaribu bahati yako.Ahsnte
@munally14Mkuu, hebu jaribu ku apply hiki iwanda kipya cha dawa cha Kairuki, kuna nafasi nyingi nyingi walitangaza, jaribu bahati yako.
Link: Job Vacancy – Kairuki Pharmaceticals Industry
Pia, kipindi hiki huwezi tafuta pesa (hata kwa support kutoka kwa wazazi, etc) hata ukaanzisha kijiwanda cha kutengeneza sanitizers kwa mfano? (Unaweza kuanzia kutengenezea nyumbani tuu), hiyo kitu (sanitizers) sasa hivi ina soko zuri tuu kwa sababu ya hili janga la COVID. Inaweza ikakupatia hela ya kula mkuu.
Pia, nicheki inbox nikupatie e mail address na namba ya Mkurugenzi wa hospitali ya rufaa ya kanda ya Mbeya, pale wana kiwanda cha kutengeneza IV Fluids na pia wanatengeneza sanitizer, wanahitaji mtu wa aina yako na hawana, they might be able to offer you something. Umesomea fani adimu sana mkuu, usikate tamaa utatoboa tuu.
munally14
Mkuu, hebu jaribu ku apply hiki iwanda kipya cha dawa cha Kairuki, kuna nafasi nyingi nyingi walitangaza, jaribu bahati yako.
Link: Job Vacancy – Kairuki Pharmaceticals Industry
Pia, kipindi hiki huwezi tafuta pesa (hata kwa support kutoka kwa wazazi, etc) hata ukaanzisha kijiwanda cha kutengeneza sanitizers kwa mfano? (Unaweza kuanzia kutengenezea nyumbani tuu), hiyo kitu (sanitizers) sasa hivi ina soko zuri tuu kwa sababu ya hili janga la COVID. Inaweza ikakupatia hela ya kula mkuu.
Pia, nicheki inbox nikupatie e mail address na namba ya Mkurugenzi wa hospitali ya rufaa ya kanda ya Mbeya, pale wana kiwanda cha kutengeneza IV Fluids na pia wanatengeneza sanitizer, wanahitaji mtu wa aina yako na hawana, they might be able to offer you something. Umesomea fani adimu sana mkuu, usikate tamaa utatoboa tuu.
munally14
@munally14
Thank you nakutafuta
mcheki sasa hv..na hiyo link utaifanyia kaziAhsnte sana mungu awabariki
sawa..Allah kareem.Hichi cha kairuki nimeaply juzi tu ahsnte sana dua zenu
mcheki sasa hv..na hiyo link utaifanyia kazi
😆😆Mpe connection sasaMkuu kimbia wizarani ukawasaidie waziri na naibu wake wanatwanga vitunguu saumu na pilipili manga tuone ukiwapa formular itakuaje