johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Kumbe waungaji mkono wa maandamano Wana ajenda mbalimbali siyo ile miswada ya sheria za uchaguzi pekee
Jana bwanamdogo mmoja amenihakikishia piga ua 24 January Lazima aandamane kupinga kulipwa mshahara mdogo kwenye kampuni ya Makolo Enterprise
Kwa kweli Nimeshangaa na kuelewa kwanini Haya maandamano yamezuiwa kiintelejensia
Nawatakia Dominica njema!
Jana bwanamdogo mmoja amenihakikishia piga ua 24 January Lazima aandamane kupinga kulipwa mshahara mdogo kwenye kampuni ya Makolo Enterprise
Kwa kweli Nimeshangaa na kuelewa kwanini Haya maandamano yamezuiwa kiintelejensia
Nawatakia Dominica njema!