Mkuu kaulize huko huko ulikopewa hizo receipt ili wakueleweshe vizuri kwani ni kwa nia njema ya kutaka kufahamu zaidi, vinginevyo hapa tukianza kulijadili hatutapata majibu ambayo ni guinine, otherwise itakuwa ni umbea tunafanya. Nenda kaulize hivi, vipi mmemkosea kunipa hzi receipt mbili ama ni kwa sababu gani kuchukua receipt mbili tofauti wakati nimelipia huduma moja??? Or you can create tricky questioures list so that to get your desired intessions answers,
Its my opinions tusubiri wadau wengine tuwasikie wanasemaje!