britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Kumbe Leo kwako kesho kwa mwingine, tuwe makini, unaweza uka mute juu ya suala fulani au pengine kulifurahia kimoyo moyo ukadhani haliwezi kukufika, tujifunze,
Nimeperuzi page zake zote, kwenye mitandao ya kijamii, sijaona sehemu yeyote aliyoandika
1.Bring back saa nane
2. Bring back Azory
3.R.I.P Alphonce Mawazo,
4. Au pole Lissu,
Kumbe alikuwa anafuata yeye,
Tahadhari : Usimwamini mtu, usipuuzie ujumbe wa vitisho, boresha ulinzi, maana ijayo inaweza kuwa wewe, haijalishi ni CCM, CUF, CHADEMA AU ACT
Britannica
Nimeperuzi page zake zote, kwenye mitandao ya kijamii, sijaona sehemu yeyote aliyoandika
1.Bring back saa nane
2. Bring back Azory
3.R.I.P Alphonce Mawazo,
4. Au pole Lissu,
Kumbe alikuwa anafuata yeye,
Tahadhari : Usimwamini mtu, usipuuzie ujumbe wa vitisho, boresha ulinzi, maana ijayo inaweza kuwa wewe, haijalishi ni CCM, CUF, CHADEMA AU ACT
Britannica