Ngoja tusubiri 90 zimalizike..Wadau mnasemaje?
Nimekubali.. Spain watachukua hii ndoo.. kama wamemfunga France 2 kwa 0..Spain Bingwa
imeisha!Bingwa World Cup 2026 ni Hispania. Hawa madogo ni wapambanaji. Wameruhusu goli moja tu mpaka sasa. Sioni Ufaransa akitoboa.
Aje Uingerea au Argentina fainali atakalishwa tu. Hayo ni maono yangu. Sijawahi kukosea.
Timu Ronaldo na Timu Messi kafieni mbele huko. Spain Bingwa WC 2026. Tukutane 2030
Chali kifo cha mendeFRANCE BINGWA