Habar za usiku wana JF,
Jioni ya leo nikiwa natoka kazini kuelekea nyumban nikiwa na kisura chenye bashasha, baada ya kupata kahela kidogo ambacho kwa hesabu za haraka kalikuwa kananipeleka mpaka tarehe 23 ambapo mshahara utaingia,nikiwa maeneo ya kigogo kama vile naelekea loyola nilipanda tuta wakati nashuka tuta nilijikuta narushia watu maji
Kumbe pale chini ya tuta kulikuwa na bonge la shimo ambalo sikuliona kutokana maji kujaa, nikatoa ishara ya kuomba msamaha nikasepa hatua chache tu watu wananipigia kelele pancha panchaa, ikabidi nipaki nishuke kuangalia, dah limekatika na halifai tena nikifikiria sina hela ,
Nina madeni kila kona nimepata kijisenti bwana tyre nae ananifanyia uhuni kwakweli kwa uchungu mkubwa nikaliambia 'HATA WEWE TYRE UNANIFANYIA HIVI !!!AU HAKA KAHELA NILIKOPATA KAMEKUTOA ROHO,HUJUI HALI YANGU NILONAYO ,WE HAYA ILA JUA MUNGU ANAKUONA, KAGIZA HAKA NA KAMVUA HAKA UNANITESA KWELI ,HAYA BWANA MJANJA WW.......
Ndugu zanguni hivi vyuma sasa vinatutia wazimu grisi nayo bei juu
Jioni ya leo nikiwa natoka kazini kuelekea nyumban nikiwa na kisura chenye bashasha, baada ya kupata kahela kidogo ambacho kwa hesabu za haraka kalikuwa kananipeleka mpaka tarehe 23 ambapo mshahara utaingia,nikiwa maeneo ya kigogo kama vile naelekea loyola nilipanda tuta wakati nashuka tuta nilijikuta narushia watu maji
Kumbe pale chini ya tuta kulikuwa na bonge la shimo ambalo sikuliona kutokana maji kujaa, nikatoa ishara ya kuomba msamaha nikasepa hatua chache tu watu wananipigia kelele pancha panchaa, ikabidi nipaki nishuke kuangalia, dah limekatika na halifai tena nikifikiria sina hela ,
Nina madeni kila kona nimepata kijisenti bwana tyre nae ananifanyia uhuni kwakweli kwa uchungu mkubwa nikaliambia 'HATA WEWE TYRE UNANIFANYIA HIVI !!!AU HAKA KAHELA NILIKOPATA KAMEKUTOA ROHO,HUJUI HALI YANGU NILONAYO ,WE HAYA ILA JUA MUNGU ANAKUONA, KAGIZA HAKA NA KAMVUA HAKA UNANITESA KWELI ,HAYA BWANA MJANJA WW.......
Ndugu zanguni hivi vyuma sasa vinatutia wazimu grisi nayo bei juu