Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,834
Hii nyumba inasemekana Ina miaka zaidi ya 15 hapajawahi kukaa mtu wala hakuna dalili za mmiliki kwani Kuna jamaa aliyekuwaga mmiliki aliendaga uingereza na Familia yake wakadai watarudi lakini ikawa byebye kwahiyo mimi baada ya kupata hizo taarifa nikachukua uamzi wa kutafuta homeless ambao hawana uoga wakavunja mlango wakaingia asubuhi wakaingiza vitu kama vyombo I kitanda na godoro.
Imepita miezi mitatu Hao majaa niliwaambia wakalale bado wanalala na mwenyekiti wa serikali ya mtaa alipoenda kuwahoji wakasema ni ndugu wa huyo jamaa aliyeendaga uingereza kwahiyo mwenyekiti akawaita na baadhi ya viongozi, viongozi wakakubali nahao majamaa bado wanakaa na mda si mrefu nafanya miliki. Sio utani ni ukweli.
Imepita miezi mitatu Hao majaa niliwaambia wakalale bado wanalala na mwenyekiti wa serikali ya mtaa alipoenda kuwahoji wakasema ni ndugu wa huyo jamaa aliyeendaga uingereza kwahiyo mwenyekiti akawaita na baadhi ya viongozi, viongozi wakakubali nahao majamaa bado wanakaa na mda si mrefu nafanya miliki. Sio utani ni ukweli.