kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 13,733 Reaction score 25,542 Oct 14, 2017 #21 kwa hiyo kuanzia leo unakula papuchi kihalali mkuu?
mbeyakwetu JF-Expert Member Joined Dec 17, 2016 Posts 723 Reaction score 396 Oct 14, 2017 #22 hongera mkuu
Mr Miller JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 11,449 Reaction score 25,821 Oct 14, 2017 #23 Hoooolaay....nice move pal!
uduzungwa JF-Expert Member Joined Oct 12, 2016 Posts 552 Reaction score 544 Oct 14, 2017 Thread starter #24 Asanteni sana wakuu. Mungu awabariki sana
dafity JF-Expert Member Joined Aug 16, 2008 Posts 1,878 Reaction score 2,085 Oct 14, 2017 #25 Kwenye huo "uchumba wa muda mrefu" mlikuwa "mnakulana?" Kama ni NDIO basi ulishaoa kabla ya leo
Panya Mabaka JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 619 Reaction score 558 Oct 14, 2017 #26 hongera, karibu kwenye chama chetu. cheti kwanza, mtihani baadae...hahahahahahahaha!
B Bacary Superior JF-Expert Member Joined Jul 3, 2014 Posts 3,721 Reaction score 1,515 Oct 14, 2017 #27 Kwahyo upo kwenye zile saba TAKATIFU
BILGERT JF-Expert Member Joined Feb 27, 2015 Posts 6,532 Reaction score 11,027 Oct 14, 2017 #28 uduzungwa said: Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike. Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu. Amen. Click to expand...
uduzungwa said: Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike. Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu. Amen. Click to expand...
Hubeb Senior Member Joined Mar 21, 2017 Posts 165 Reaction score 238 Oct 14, 2017 #29 uduzungwa said: Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike. Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu. Amen. Click to expand... Kumbe una mchumba mwengine wa kiume ee? Nae utamuoa lini sasa?
uduzungwa said: Mie kijana wa kiume mwenye miaka kadhaa. Nimemuoa mchumba wangu wa mda mrefu wa kike. Naomba Mungu utubariki katika ndoa yetu. Amen. Click to expand... Kumbe una mchumba mwengine wa kiume ee? Nae utamuoa lini sasa?