Nimenusurika ajali ya Ndege Dubai, ni jambo la kumshukuru Mungu

Nimefuatilia video ya ajali hii, inaonekana abiria badala kuondoka haraka kwenye ndege, baadhi walikuwa wanachukua mabegi yao kutoka kwenye compartments za ndege, hadi dada muhudumu akawa anawafokea wafanye upesi kutoka. Mleta mada hajaongelea hili.
 
Nimefuatilia video ya ajali hii, inaonekana abiria badala kuondoka haraka kwenye ndege, baadhi walikuwa wanachukua mabegi yao kutoka kwenye compartments za ndege, hadi dada muhudumu akawa anawafokea wafanye upesi kutoka. Mleta mada hajaongelea hili.
Hiyo nayo ameiongelea ila ametupiga tena fix kwamba vyote viliungua mpaka simu zake za Free duty
 
Mkuu hujamwelewa hapo kwa viongozi wa dini.sio kwamba walikuwa kwenye ndege ao walikuwa sehemu ambayo manusura walipowekwa baada ya kuokolewa.


Mi mwenyewe na mashaka na stori lakini iyo hoja yako nyepesi mno.
Hatakama ni airport fikiria hiyo ni emergency on the spot anapatikana vipi pastors na mashehe kutoa huduma za kiroho wameshaandaliwa tayari that's too low wadanganye rika lako.
 
Hatakama ni airport fikiria hiyo ni emergency on the spot anapatikana vipi pastors na mashehe kutoa huduma za kiroho wameshaandaliwa tayari that's too low wadanganye rika lako.
Mkuu unajuwa "Procedure" za Emergency eneo la Airport?Google tu hata "Emergency drill on Airport" utapata uelewa.
Panapotokea aina hii ya tukio kwenye nchi zilizoendelea kitu hiyo ni kawaida kabisa...Mbona siku hizi hata google ni darasa?Jielimishe kabla hujakosoa...
 
Sitaki kuamini kuna mtu anaweza kukaa apoteze mda kutunga uongo kwenye tukio kama hili,ili iweje? akidanganya ananufaikaje? maelezo yake sio lazima yawe perfect 100% ili tukio liwe kweli.
 
Hatakama ni airport fikiria hiyo ni emergency on the spot anapatikana vipi pastors na mashehe kutoa huduma za kiroho wameshaandaliwa tayari that's too low wadanganye rika lako.
The Rev. James Devine, a Catholic priest who is one of three full- time chaplains at John F. Kennedy Airport in New York, said the airport's priest, rabbi and Protestant minister were joined by several other clergics in counseling those bereaved by the TWA Flight 800 crash. They said Mass and conducted services at the terminal and at the Marriott hotel where victims' families stayed.
Meeting Spiritual Needs Of Airport Disaster Victims
Binafsi hata kama jamaa atakuwa anadanganya kama mnavyosema...lkn ana uelewa mkubwa wa haya mambo ya huu usafiri,sababu mambo mengi kaelezea kitaalamu sana,ukiwa kwenye aviation unaelewa,ndio maana mimi nahisi huyu ni "Mtanzania" aliyejilipua!!Sasa kajisahau kajianika
 
Kwenye mazingira kama hayo ya ajali hakuna mambo ya kukaa na kusali. Kazi huwa ni moja tu ya uokoaji kwani mazingira huwa sio salama.
Meeting Spiritual Needs Of Airport Disaster Victims

The Rev. James Devine, a Catholic priest who is one of three full- time chaplains at John F. Kennedy Airport in New York, said the airport's priest, rabbi and Protestant minister were joined by several other clergics in counseling those bereaved by the TWA Flight 800 crash. They said Mass and conducted services at the terminal and at the Marriott hotel where victims' families stayed
.

Mkuu chororingo unajuwa taratibu za ajali za ndege?hizo feet4000 walizoenda juu unajuwaje kama rubani hakuwa anatoa taarifa za hiyo emergency landing?hata kama jamaa katunga,basi ni mtunzi mzuri sana wacha na mimi awe kaniokota
Nimeaidadisi sana hii habari....Ukweli 70% ...Uwongo 30%
 
Hizi ni fix za mchana kweupe kwa sababu kama hiyo picha ya mandhari ya hoteli ilipigwa miaka minne iliyopita yaani;
Tarehe 25-01-2012
Saa 03:41 sekunde ya 57 Dubai
Miaka 4 miezi 6 siku 10 dakika 41 sek 31 zilizopita mpaka nachunguza usiku huu.
Aina ya kifaa: Apple computer Inc
Hiyo Hotel inaitwa Millenium Airpot Hotel

Na hiyo picha yenye kitanda ngoja nakuja
Utaalamu huu unafikiri toka tumeanza kudadisi habari hatukuujuwa?Kuna vitu vya kutazama...hii yako usipoteze muda,tulishaona
 
Utaalamu huu unafikiri toka tumeanza kudadisi habari hatukuujuwa?Kuna vitu vya kutazama...hii yako usipoteze muda,tulishaona
Nilipata mashaka na nikadhani huenda sipo sahihi, nikasema nijiridhishe kwa namna nyingine na nikajikuta nipo kudadisi picha kama kweli alizipiga juzi!
Nikaona fikra zangu zipo sahihi.
 
Back
Top Bottom