Lamomy atakuja kwa mda wake...ila huyo mtu wako sjui mtoto ni kupe ameniganda kama gundi ..alietakwa ni Lamomy nyinyi wewe haswa na huyo mtu wako sjui ni mchepuko wako sjui hata sielewi unampa.kichwa anigandeNimchujue mtot mara ngapi sas uyo lamomy mbn hayupo sas umekaa kinyonge unatia huruma
Anakutana nae anakuta ana midevu Kama Osama!Unamzia vipi mtu haumjui ,angalia usije Kuta kidume
We amna kitu kakaLamomy atakuja kwa mda wake...ila huyo mtu wako sjui mtoto ni kupe ameniganda kama gundi ..alietakwa ni Lamomy nyinyi wewe haswa na huyo mtu wako sjui ni mchepuko wako sjui hata sielewi unampa.kichwa anigande
Yule mtoto humuwezi we tuliaLamomy atakuja kwa mda wake...ila huyo mtu wako sjui mtoto ni kupe ameniganda kama gundi ..alietakwa ni Lamomy nyinyi wewe haswa na huyo mtu wako sjui ni mchepuko wako sjui hata sielewi unampa.kichwa anigande
🤣🤣🤣🤣🤣🤐🤐🤐🤐Daaah ..aiseee KUPE ana afadhali ...achana na Mimi basi sikutaki mbona unaniletea gundu tu kwa Lamomy?
Hapana sio mwanaume coz namfahamu physically. pesakilakitu endelea na plan yako, huwezi jua mkajikuta mmeendana na Lamomy na mkafika mbali maishani.Huwa wanasemaga ni dume uangalie usipoteze ubingwa.
Uyo lamomy me ananihusu nin nenden veta kwanza alaf mrud apaMtoto yupi unayemzungumzia? Lamomy unamuita mtoto?
Wapi huko inanyesha mkuu?Rasmi sasa msimu wa mvua umeanza, watu wanalala peke yao joto la mwili linawazingua.
Nyege mbaya sana!
Asante mkuu. Nashangaa watu wananishambulia Hadi wanawake Sasa walitaka niwatake wao ama vipi sielewiHapana sio mwanaume coz namfahamu physically. pesakilakitu endelea na plan yako, huwezi jua mkajikuta mmeendana na Lamomy na mkafika mbali maishani.
Kumbe ni huyo kupe wako Marcy sjui mecy sjui ndio unasema simuwez..ofkoz siwezani na MAKUPE Mimi ..kama unamueza ni wewe..and by the way I don't date little girls...they are off my limit. Lamomy ndio size yangu.Uyo lamomy me ananihusu nin nenden veta kwanza alaf mrud apa
Endelea mpaka atakapokukataa mwenyewe LamomyAsante mkuu. Nashangaa watu wananishambulia Hadi wanawake Sasa walitaka niwatake wao ama vipi sielewi
Mimi nimempenda na nitamdhibitishia as days goes by, taratibu
Dah we amna ktu lamomy mbona me nachati nae uku sas tunakusemaKumbe ni huyo kupe wako Marcy sjui mecy sjui ndio unasema simuwez..ofkoz siwezani na MAKUPE Mimi ..kama unamueza ni wewe..and by the way I don't date little girls...they are off my limit. Lamomy ndio size yangu.
Oooh thank you Gooood....byeee ya kuonana majaliwa akhera. Asante kwa kuniachia kupe kwaheriiiiiii.