Hongera.Jana mara baada ya kurudi kutoka msibani jijini morogoro na kuja dodoma, ata kabla sijatulia nimepokea sms kutoka kwa demu flani hivi mke wa mtu ambae mme wake sio wale wa kutulia ni wa kufanya kazi mikoa ya jirani,
Nilikuwa nadate nae as if kama bado hajaolewa she is beautifully and slim na bado hajazaa mtoto licha ya kuwa kwenye ndoa zaidi ya miaka 5,
Jana kanitext kwamba anaujauzito wangu na kweli siwezi kukataa kwa sababu nakumbuka siku zote nilikuwa napiga kavu na ata siku namgonga mara ya mwisho alikuwa kwenye siku zake za hatari, nilitegemea hilo na kweli yametokea,
Kuhusu kuilea na atafanya nini mme wake akijua,kaniambia nitulie nisiwe na pressure yeye anajua nini atafanya,
Cc Zero IQ.
Wewe huwa siamini habari zako, weka picha ya hiyo mimba au mwanamke mwenyewe.Hiyo sio chai mkuu
Jana mara baada ya kurudi kutoka msibani jijini morogoro na kuja dodoma, ata kabla sijatulia nimepokea sms kutoka kwa demu flani hivi mke wa mtu ambae mme wake sio wale wa kutulia ni wa kufanya kazi mikoa ya jirani,
Nilikuwa nadate nae as if kama bado hajaolewa she is beautifully and slim na bado hajazaa mtoto licha ya kuwa kwenye ndoa zaidi ya miaka 5,
Jana kanitext kwamba anaujauzito wangu na kweli siwezi kukataa kwa sababu nakumbuka siku zote nilikuwa napiga kavu na ata siku namgonga mara ya mwisho alikuwa kwenye siku zake za hatari, nilitegemea hilo na kweli yametokea,
Kuhusu kuilea na atafanya nini mme wake akijua,kaniambia nitulie nisiwe na pressure yeye anajua nini atafanya,
Cc Zero IQ.
Chai na kitafunwa juice ya pilpilIla jamaa unapenda kupika chai hadi mchana huu.?