Nimempenda Mabise nifanyeje ili kumpata?

Nimempenda Mabise nifanyeje ili kumpata?

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,850
Wakuu huyu mrembo MAMBISE mchekeshaji wa WATU BAKI nimetokea kumpenda vibaya sana.

Sura yake inanimaliza, pua yake inanitaabisha, tabasamu lake ndiyo usiseme.

Pozi lake linanichanganya mno, akiongea lafudhi yake ya kichuga huwa nahisi moyo unaelea elea hewani ukicheza tone za maneno yake.

Shepu yake nadhani hata shetani anaitamani hasa akivaa jinzi ya bluu na fulana jeupe.

Rangi yake ya asili ambayo haipaki mafuta ya kuchubua nadhani inaweza kuwa ndiyo sababu namba moja ya kuvutiwa na huyu mtoto.

Ndugu zangu mliopo daresalama vipi huyu mrembo ameolewa?
Kama hajaolewa nipeni njia za kunnasa najua nyinyi watu wa daa hamshindwi kitu.

MIMI NIPO MTWALA
KUHUSU PESA MSIJALI.
Screenshot_20250504_181436_Google.jpg
 
Wakuu huyu mrembo MAMBISE mchekeshaji wa WATU BAKI nimetokea kumpenda vibaya sana.

Sura yake inanimaliza, pua yake inanitaabisha, tabasamu lake ndiyo usiseme.

Pozi lake linanichanganya mno, akiongea lafudhi yake ya kichuga huwa nahisi moyo unaelea elea hewani ukicheza tone za maneno yake.

Shepu yake nadhani hata shetani anaitamani hasa akivaa jinzi ya bluu na fulana jeupe.

Rangi yake ya asili ambayo haipaki mafuta ya kuchubua nadhani inaweza kuwa ndiyo sababu namba moja ya kuvutiwa na huyu mtoto.

Ndugu zangu mliopo daresalama vipi huyu mrembo ameolewa?
Kama hajaolewa nipeni njia za kunnasa najua nyinyi watu wa daa hamshindwi kitu.

MIMI NIPO MTWALA
KUHUSU PESA MSIJALI.View attachment 3324641
Jomba unataka kuwa shemeji wa wadudu?
 
Wakuu huyu mrembo MAMBISE mchekeshaji wa WATU BAKI nimetokea kumpenda vibaya sana.

Sura yake inanimaliza, pua yake inanitaabisha, tabasamu lake ndiyo usiseme.

Pozi lake linanichanganya mno, akiongea lafudhi yake ya kichuga huwa nahisi moyo unaelea elea hewani ukicheza tone za maneno yake.

Shepu yake nadhani hata shetani anaitamani hasa akivaa jinzi ya bluu na fulana jeupe.

Rangi yake ya asili ambayo haipaki mafuta ya kuchubua nadhani inaweza kuwa ndiyo sababu namba moja ya kuvutiwa na huyu mtoto.

Ndugu zangu mliopo daresalama vipi huyu mrembo ameolewa?
Kama hajaolewa nipeni njia za kunnasa najua nyinyi watu wa daa hamshindwi kitu.

MIMI NIPO MTWALA
KUHUSU PESA MSIJALI.View attachment 3324641
Huyu andaa roli mbili za ngamia na punda wajae kwenye tandam mahali.

Ila kazuri black beauty sema kule kwenye sanaa na usanii ujiandae kuwa unakula na wenzako
 
Huyu andaa roli mbili za ngamia na punda wajae kwenye tandam mahali.

Ila kazuri black beauty sema kule kwenye sanaa na usanii ujiandae kuwa unakula na wenzako
Duh sawa mkuu, pia kwenye Sanaa yake namkubali kwa asilimia zisizozidi 60.
Ila nikimpata nitamchua maana mimi pia ni mwana Sanaa (sijatoboa)
Kuhusu kula na wengi sitaki nijiwazishe kwa sasa hadi hapo nikimpata nitajua nitaishi nae vipi.
 
Nilimsikia akisema...asingependa afike miaka 30 na hajaolewa...kwa hiyo hata sasa akitokea mtu Yuko serious...chap anaingia ndani...hope hakuwa anatania
Duh kioo changu cha jamii DIZASTA VINA, anasema ndoa ni maigizo yasiyo na hela. Nitaangalia, niegemee wapi kati ya msimamo wangu na mapenzi.
 
Back
Top Bottom