Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,195
Ni hivi wiki mbili zilizopita kuna mdada/mwanamke nilitoka kumfukunyua kufanya nae tendo la kibiolojia,
Sasa leo Asubuhi kanipigia simu kasema nimempa mimba na hiyo ni kwa mujibu wa kipimo alichotumia kujipimia, mimi sikukataa wala kukubali nikamwita hapa gheto kiustarabu kabisa na kwenda nae hapo hospital ya private kuthibitisha hilo asemalo,
Kilichotokea ni kwamba kweli binti ana mimba lakini sasa Mimba ni ya Miezi miwili na mimi nina wiki mbili tu tangu niweke/Nifukunyue mzigo,
Nimemuuliza vipi bado anafikiri mimi nimempa mimba juu ya mimba hii aliyonayo? Yaani ya kwanza ni ya mtu mwingine alafu kuna ya Kwangu juu ya ile ya kwanza,
Naona kakaa kimya hapa hospital kila mtu katoka na kupitia njia yake sasa sijui ndio anaenda kufikiria jibu.
CC Zero IQ
Sasa leo Asubuhi kanipigia simu kasema nimempa mimba na hiyo ni kwa mujibu wa kipimo alichotumia kujipimia, mimi sikukataa wala kukubali nikamwita hapa gheto kiustarabu kabisa na kwenda nae hapo hospital ya private kuthibitisha hilo asemalo,
Kilichotokea ni kwamba kweli binti ana mimba lakini sasa Mimba ni ya Miezi miwili na mimi nina wiki mbili tu tangu niweke/Nifukunyue mzigo,
Nimemuuliza vipi bado anafikiri mimi nimempa mimba juu ya mimba hii aliyonayo? Yaani ya kwanza ni ya mtu mwingine alafu kuna ya Kwangu juu ya ile ya kwanza,
Naona kakaa kimya hapa hospital kila mtu katoka na kupitia njia yake sasa sijui ndio anaenda kufikiria jibu.
CC Zero IQ


anataka kuniuzia mbuzi kwenye gunia