Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,701
- 30,044
Jamani usiombe kukaa kwa shemeji yako halafu wewe mtoto wa kiume.unakuwa na hard time hasa.toka tumerudishwa home sababu ya corona niliona siwezi rudi bush country kwa wazazi so nijibanze kwa sister.
Tatizo sikuwa na nauli lakini kule bush ngeanza shirikishwa mambo ya kilimo.nami nlishakaa sana town nshakuwa soap soap.
Jumanne nmekutana na shem kwenye kakichochoro ka baa flan kampinda bar maid mmoja kicheche sana.huyo barmaid hata mimi nmewahi kumla...ila nlitumia condom.sababu wanasema ana grid
Shem nmemkuta kabisa anakamua kwenye huo uchochoro akiwa amekingwa na gari lake ili apige faster. mimi nlikuwa naenda kukojoa nlikuwa nipo hapo bar na mshkaji kanitoa out nami nipate taste ya mchujo wa ngano
Sikutaka enda kojoa choon maana sipendi harufu ya mikojo ya walevi.nlipofika eneo ndo nacheck hivi namwona shem.naye aliniona...kwa mshtuko akachomoa mashine na kurudisha surualini
Yule demu akaanza kumind kuwa nakatisha starehe za watu nikakojie mbali.mkojo nao ukakatika hata haukutoka.basi nikarudi kwa mezani sina amani
Sasa nipo njia panda naona kama shem anaweza kuwa kaungwa naye atamuunga sister.nashindwa mwambia sister sababu wote tutarudishwa home....sister akiamua kuondoka nami ntakosa pa kukaa hasa likizo.
Halafu shem wala hata hajanitafuta kunitaka radhi....amechukulia poa kinyama...kama vile hamna kitu.sasa nawaza si anampiga sister kavu na kule alipiga kavu...hii wadau namsaidiaje sister?
Changamoto hii inanitesa...na je wakibwagana na sister mimi ntakuwa nakaa wapi likizo chuoni?kama hivi kipindi cha corona wamenipiga tafu sana.of course nlikuwa nami nawasaidia kuosha magari yao, kufyeka majani,kunyoosha nguo za shem n.k.
But now nawaza nifanyeje...shem anakula vicheche tena hatarishi?imeniumiza sana...halafu hajali wala nini.anaona sawa tu.tena inaniuma zaidi yule binti nmekula mimi baadaye akawa ananikwepa kumbe sababu ya shem.shem anatuumiza mimi na sister.
Copy and paste
Tatizo sikuwa na nauli lakini kule bush ngeanza shirikishwa mambo ya kilimo.nami nlishakaa sana town nshakuwa soap soap.
Jumanne nmekutana na shem kwenye kakichochoro ka baa flan kampinda bar maid mmoja kicheche sana.huyo barmaid hata mimi nmewahi kumla...ila nlitumia condom.sababu wanasema ana grid
Shem nmemkuta kabisa anakamua kwenye huo uchochoro akiwa amekingwa na gari lake ili apige faster. mimi nlikuwa naenda kukojoa nlikuwa nipo hapo bar na mshkaji kanitoa out nami nipate taste ya mchujo wa ngano
Sikutaka enda kojoa choon maana sipendi harufu ya mikojo ya walevi.nlipofika eneo ndo nacheck hivi namwona shem.naye aliniona...kwa mshtuko akachomoa mashine na kurudisha surualini
Yule demu akaanza kumind kuwa nakatisha starehe za watu nikakojie mbali.mkojo nao ukakatika hata haukutoka.basi nikarudi kwa mezani sina amani
Sasa nipo njia panda naona kama shem anaweza kuwa kaungwa naye atamuunga sister.nashindwa mwambia sister sababu wote tutarudishwa home....sister akiamua kuondoka nami ntakosa pa kukaa hasa likizo.
Halafu shem wala hata hajanitafuta kunitaka radhi....amechukulia poa kinyama...kama vile hamna kitu.sasa nawaza si anampiga sister kavu na kule alipiga kavu...hii wadau namsaidiaje sister?
Changamoto hii inanitesa...na je wakibwagana na sister mimi ntakuwa nakaa wapi likizo chuoni?kama hivi kipindi cha corona wamenipiga tafu sana.of course nlikuwa nami nawasaidia kuosha magari yao, kufyeka majani,kunyoosha nguo za shem n.k.
But now nawaza nifanyeje...shem anakula vicheche tena hatarishi?imeniumiza sana...halafu hajali wala nini.anaona sawa tu.tena inaniuma zaidi yule binti nmekula mimi baadaye akawa ananikwepa kumbe sababu ya shem.shem anatuumiza mimi na sister.
Copy and paste