Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,654
- 8,586
Kama atakuja, basi atakuwa na roho ngumu!
Kama atakuja, basi atakuwa na roho ngumu!
...😀😀😀Ntolee mipovu yako hapa kwahiyo wewe unajua kuliko aston villa?
Kwa wale tuliokuwa tunadanganywa na vyombo vya habari kuhusu Samatta kufuatiliwa n'a team za overtone na leicester naona haikuwa ukweli.
Huyo jamaa uwezo wake ni wakawaida sana sema bahati ndio ilimpeleka ulaya.
Kipindi cha kwanza hajafanya attempt hata moja na kagusa mpira mara mbili tu nikimlinganisha na walichokuwa wanafanya mastriker wa Genk.
Sioni nafasi yake kwa klabu yeyote pale england wala spain. Hana zile mishemishe za kistriker. Bado anampira wa kitanzania.
Watu weusi tunaongoza kwa roho mbaya, tunaweza kumchukia mtu pasi na sababu yoyote mbaya zaidi huyo mtu unayemchukia hujawahi hata kukaa nae na kufanya conversation na isitoshe hakujui hata,,, Waafrika tunaroho mbaya sana hasa tunapoona mtu kafanikia huwa tunamchukia tuu bila ya sababu