kama kweli umemaliza form 4 mwaka jana it means ulijiunga JF form THREE mwezi wa saba kipindi ambacho nijiavyo mimi ndo game ya olevel huwa iankuwaimekolea...no wonder why ulipata four ya 28........na kwa majibu yako toka mwanzo mwa thread inaonekana una masikhara.....maisha hayaendi hivo dogo..........rekebika