Daslam ata sipajuiUlivo zoea dar es saalam
huku huta paweza kisura.
Wa huko haina kuuliza ni warembo balaaMkuu weka sifa za Dada zenu, tulete posa kama vipi. 2020 napanga niowe..!
Siku mmoja nakutana na weweDaslam ata sipajui
Nawew niwahuko? Sura si roho lakini!!Wa huko haina kuuliza ni warembo balaa
Mkuu nilianzia kazi Ushora kama unapasikia miaka hiyo dah! Maisha hayaTulikuwa tuna lori flani tunaenda minadani kule ndo nilijua vijiji vingi hasaa vya iramba.
Kiomboi
Mtekente
Ufana
Shelui
Sekenke
Pia njia panda ilikuwa raha sana kipindi hicho kula bata ya kufa mtuu!!chapa sana watoto wa kinyiramba na wataturu wale wanaacha nyonyo wazi.
Siku mmoja nakutana na wewe
Una muelekeza aje kona ile ya kairuki.
mkale bata
hahahaha wivu nakaona mimi.
Wana roho nzuri pia...me wa nyanda za juu kusiniNawew niwahuko? Sura si roho lakini!!
Yoo ngwee umunyarhuuAyuu, nemfangaa waa
Mtinko,Nduguti, Sepuka, Ikungi,Tulikuwa tuna lori flani tunaenda minadani kule ndo nilijua vijiji vingi hasaa vya iramba.
Kiomboi
Mtekente
Ufana
Shelui
Sekenke
Pia njia panda ilikuwa raha sana kipindi hicho kula bata ya kufa mtuu!!chapa sana watoto wa kinyiramba na wataturu wale wanaacha nyonyo wazi.
Wana roho nzuri pia...me wa nyanda za juu kusini
Haaaa munaneYoo ngwee umunyarhuu
Mitaa ya Singida..... Kindai, Utemini, Kibaoni Mitunduruni, Unyankindi, Ipembe, Ukombozi, Mwenge, Kititimo, Ginnery, Jovena, Singidani, Sabasaba, Uwanja wa Ndege, Unyanga, Mwaja, Bomani, Njuki, Sido, Magereza, Field Force, Sokoine, Stand Mpya mingine ongeeni kitambo sana enzi izo tunaingia Disco Jumba na Utamaduni Tsh 50 au Legho Singida MotelNimezaliwa na kukulia jeshini 601 KJ airbase Ngerengere jeshini ila dingi kauzu sana, nilipofikisha miaka 6-9 dingi alinipeleka na kuniacha singida kijijini saaana nijifunze desturi na mila za kinyaturu.
Ne guenda usempa nyonyi,
Guglya meye
Guthryura diu, gusengeya ng'ombe pende
Ne gudema gugifaghama (mieleka)
So karibuni
wanyaturu na wanyiramba
Na wengine
View attachment 1138090View attachment 1138093View attachment 1138097
Haha haha mnyampaaHaaaa munane
hahaha najua kisura hata usiwaze
Yale matani bana kwani hujui jf na mimi eti nkajifanya najua dar
Utankuta hapa hapa nakungojahahaha najua kisura hata usiwaze
Mimi nikuage kidogo kisura, mda wa pori huu baadae ntakuona, usijifiche tu tafadhari.
Wewe wa mkoa gani Shunie?Wengine wabishi watapita kusoma kimyakimya
Nitakujibu kule hivi kumbe ulipata ujumbe wangu wa kurudisha hiyo avatarWewe wa mkoa gani Shunie?
HahahahahaNitakujibu kule hivi kumbe ulipata ujumbe wangu wa kurudisha hiyo avatar