Nimekula kichwa cha bata Leo...

Chumvini na kichwa cha bata bora nn?
 
Hahaha hamna sjafanya hasira shem memwambia tu

Watu wanayaweza sana
 
Hahaha hamna sjafanya hasira shem memwambia tu

Watu wanayaweza sana
Sasa huyu IKIRIRI kaniuliza swali hapo juu tu ya comment yako, eti kichwa cha kitimoto au chumvini wapi bora?

Naona hata noma kumjibu, kwasababu upo humu, halafu jana tu ulinambia we ni mbea kuliko maelezo, mpaka unajiogopa
 
Mkuu ushawahi kuonja utumbo wa bata?Tafuta ule uliooshwa sio saana,chemsha weka limao kidogo.utakuja kusimulia
 
Mkuu ushawahi kuonja utumbo wa bata?Tafuta ule uliooshwa sio saana,chemsha weka limao kidogo.utakuja kusimulia
Utumbo nakula Mara nyingi ,kichwa ilikuwa bado
 
KICHWA CHA KUKU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…