Kiteitei
JF-Expert Member
- Jan 14, 2009
- 1,587
- 1,523
dada zetu mnatupeleka wapiiii!!??nina same story kwa jamaa yangu wa karibu
jamaa alikuwa na mahusiano na binti mmoja msomi mzuri tuu ( nadhani anaweza pia kuwa humu jf), kwenye mahusiano yako binti alipata ujauzito, wakati akilea ujauzito jamaa aligundua kuwa binti alikuwa na mahusiano na mtu mwingine (mume wa mtu), waligombana sana na ikabidi jamaa akatishe mahusiano na yule binti, hakuulizia habari zake wala mambo ya mimba, baada ya muda binti alimtafuta mtoto akiwa na mwaka na miezi miwili hivi, jamaa alishapoteza kabisa hamu hata ya kumuona ila alimwambia kuwa mtoto ni wake na alimtumia picha, kwa kulazimisha kuwa mtoto anafanana naye, jamaa alikwenda kumuona mtoto lakini alikuwa na mashaka kwani huo mfanano aliodai mama mtoto hakuuona kivile akajipa mooyo labda akikua atagundundua, walirejesha mahusiano lakini sio kama ilivyokuwa awali, baada ya muda aligundua kuwa yule baba alikuwa anahudumia kila kitu hadi kodi ya nyumba na anafahamika hadi kwa mama yake binti!alopodai kadi ya mtoto hakupewa na aliamua kumwaga manyanga jumla jumla! hakuwahi kukutana na huyo baba mwingine na wala hamfahamu, binti amekuwa akimshumbua mara kwa mara kudai hiki na kile lakini jamaa amegoma kabisa na hataki hata kumuona mtoto tena!!...kina dada hebu waoneeni huruma watoto...khaaaaaaaaaaaa
jamaa alikuwa na mahusiano na binti mmoja msomi mzuri tuu ( nadhani anaweza pia kuwa humu jf), kwenye mahusiano yako binti alipata ujauzito, wakati akilea ujauzito jamaa aligundua kuwa binti alikuwa na mahusiano na mtu mwingine (mume wa mtu), waligombana sana na ikabidi jamaa akatishe mahusiano na yule binti, hakuulizia habari zake wala mambo ya mimba, baada ya muda binti alimtafuta mtoto akiwa na mwaka na miezi miwili hivi, jamaa alishapoteza kabisa hamu hata ya kumuona ila alimwambia kuwa mtoto ni wake na alimtumia picha, kwa kulazimisha kuwa mtoto anafanana naye, jamaa alikwenda kumuona mtoto lakini alikuwa na mashaka kwani huo mfanano aliodai mama mtoto hakuuona kivile akajipa mooyo labda akikua atagundundua, walirejesha mahusiano lakini sio kama ilivyokuwa awali, baada ya muda aligundua kuwa yule baba alikuwa anahudumia kila kitu hadi kodi ya nyumba na anafahamika hadi kwa mama yake binti!alopodai kadi ya mtoto hakupewa na aliamua kumwaga manyanga jumla jumla! hakuwahi kukutana na huyo baba mwingine na wala hamfahamu, binti amekuwa akimshumbua mara kwa mara kudai hiki na kile lakini jamaa amegoma kabisa na hataki hata kumuona mtoto tena!!...kina dada hebu waoneeni huruma watoto...khaaaaaaaaaaaa