Nimekosea kulipia King'amuzi

[emoji23][emoji23]
 
Habari zenu jamani....

Nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25,000 nimelipia 250,000.

Msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi.
Kama kulipia Azam decoder ni direct kutoka kwa mteja mojakwamoja kwenye decoder, pesa wanaweza kukurudishia chap maramoja. Ila kama malipo Lazima yapitie selcom ndio yaingie kwenye decoder yako basi kimbembe huwa selcom. Na kwasabb hiyo watakushauri uangalie miezi 10
 
Hela zote za kufanyia malipo huwa hazirudi na hata zikirudi utakuwa umepitia mlolongo mrefu sana ambao ni ngumu sana kuumudu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…