Habari zenu jamani....
nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25000 nimelipia 250000,.
msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi.
Hela ikienda huko ni non refundable, ila utatumia miezi 10 Hio pesa yako, niliwahi kununua vocha ya 300,000 badala ya 30000 nilitaka jiunga bundle la mwezi, Voda waligoma kabisa kunirefund, kwa hasira niliwaunga watu wangu wote wa karibu vifurushi vya mwezi mpaka ikaisha
Watakachokusaidia ni kuhamishia kwenye akaunti yako usiwe na shaka enjoyBora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu
Naona unazidi kugongelea tuNdugu mteja hata sisi tumeingiza kwenye bajet zetu
Asante
Azam TV burudani kwa wote
10 daima damdam
Ni vigumu kwa wanawaume kumlipia king'amuzi mwanamke mwenzakeHata sijakuelewa!
Bora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu
π π π π π π π π π π π π π π π πKama ni mchuchu basi umejihakikishia papuchi kwa mwaka mzima...(kidding ππ)
utani tena hapa roho inaniumaKama ni mchuchu basi umejihakikishia papuchi kwa mwaka mzima...(kidding [emoji16][emoji16])
Mimi mwanamke bwanaNi vigumu kwa wanawaume kumlipia king'amuzi mwanamke mwenzake
Daaa, yaani upo serious kabisa mkuu???? Mpk nimecheka,Laki 2 yote umetoa wapi hela nyingi hvyo
Shabikia Yanga yaani uwe MWANANCHi,hutajutaMh hela ina bajeti yake ni vile tu nilikuwa nimevurugwa
Watakurudishia tu pesa yakoBora hata kingekuwa changu nimemlipia mtu
Huyu ni KESi useme tu mtu ndio nini kwani wife anaujua upo jf
wanapokea itakuwa umelioa adv ya miezi 10 hakuna hasaraHabari zenu jamani....
Nimelipia Azam kwa kukosea, badala ya 25,000 nimelipia 250,000.
Msaada wenu niwapigia huduma kwa wateja hata haipokelewi.