tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.
Unataka misifa huna lolote_utaalaniwa unapohusisha dini na siasa uchwara wako_una nin wewe mpaka uje kujisifia hapa?
Bora mngetoa hiyo sadaka ya daku/futari kwa masikini waliolala na njaa sio hao waliojishibia tayari....hamna sadaka hapo ni kujionyesha tu...Mkuu njiwa sadaka ya chakula kwa mtu yoyote kwa muislam ana asiyekuwa muislam...jamaa wanataka kuleta chuki bila sababu za msingi.
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.
Bora mngetoa hiyo sadaka ya daku/futari kwa masikini waliolala na njaa sio hao waliojishibia tayari....hamna sadaka hapo ni kujionyesha tu...
Mie nikisaidia masikini sitangazi hata siku moja natoa kimya kimya.
Mkubwa chama tatizo wewe upo mbali upo Washington DC ungekuepo bongo ungepata mualiko.
.
Isingekuwa kwanjia ya sime iliyoeneza huo Uisilamu unaojidai nao...sijui ungekuwa nani leo!!
Heshimu sana sime lasivyo ungekuwa kafiri!
.
Mkuu vipi tena? Siasa na dini vimechanganywaje hapa? Mbona muda wa futari umeshapita, bado umebanwa na saumu tu? Lala kidogo usubiri daku!
Mi nahisi hukuenda ili uje usifiwe huku JF , c huwa wanasema ushujaa ni kupambana na tatizo badala ya kulikimbia, huyo role modal wako hakukimbia though alijua consequence zk, next tym nenda kamwambie usoni how much u hate him
Kualikwa kwako na kuacha kuhudhuria kunatuhusu nini. Huu ndio unafiki usiotakiwa,eti alinialika nikasingizia nasafiri,kama we kweli ni mtu kwa nini usimwambie hutahudhuria kwa sababu hiyo ya kupuuzi uliyotoa? We ni mnafiki kwa sababu umesema uongo. Acha mawazo na fikra mgando!