Kumbe hata MAKAFIRI oppppssss wakristu wanafuturishwa?!!!
Yule sio MBATIA kweli au kasilimu siku hizi?!
Siunajua upande wapili kupika Kwao nitatizo so usishangae kutaka mualiko tenaMkuu njiwa juzi niliwapa mualiko rafiki zangu Wakiristo walikula muogo wa nazi na samaki jodari, na katres za samaki, na uji wa shurba pamoja maamri na rost ya mbuzi, chapati za samri, wakashushia na juice ya pera leo tena wameniomba mualiko tena...nimewambia Ijumaa wamefurahi sana.
Huna sifa ya mualiko,usitake kujipa chati bana. Una umuhimu gani mpaka ualikwe, na hata ungealikwa nadhani ungefika hapo ikulu mchana.
Mkuu njiwa juzi niliwapa mualiko rafiki zangu Wakiristo walikula muogo wa nazi na samaki jodari, na katres za samaki, na uji wa shurba pamoja maamri na rost ya mbuzi, chapati za samri, wakashushia na juice ya pera leo tena wameniomba mualiko tena...nimewambia Ijumaa wamefurahi sana.
Mkuu naomba radhi kwa dhati. Hata hivyo unajua pindi kama ingetokea kweli nimchape kiatu cha Bush sana sana msamaha ambao ningepata ni ni kutunzwa stoo baada ya kisago cha mbwa. Baada ya Iddi tu ni Mabwe, au uwongo sheikh?
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.
kweli mkuu kwa hali tuliyonayo sasa hatutakiwi kuwa na silaha karibu zinaweza kutupeleka kutenda tusichotarajia... kila mtu kajaa kama puto kwa hasira kutokana na serikali dhaifu.
Hongera kwa uamuzi wa busara kuchagua kuendelea kuwa na familia yako. Ungerusha kiatu sidhani kama ungemkosa maana hawezi kukwepa huyu jamaa
kheeee huyu ni nani?Shein au
Mkuu njiwa juzi niliwapa mualiko rafiki zangu Wakiristo walikula muogo wa nazi na samaki jodari, na katres za samaki, na uji wa shurba pamoja maamri na rost ya mbuzi, chapati za samri, wakashushia na juice ya pera leo tena wameniomba mualiko tena...nimewambia Ijumaa wamefurahi sana.