Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,696
Kama kawaida mkuu wa kaya kipindi hiki huandaa futari na kuwaalika watu fulani fulani kuwafuturisha. Nilipata mwaliko jana kuwa kesho (leo) anafuturisha. Siyo siri, nimetoa "excuse" kwamba nitakuwa safarini kwani nawahurumia watoto wangu bado wadogo. In short niliogopa ningemkosa na kiatu huyu jamaa afu yangenipata mabaya zaidi ya yaliyompata mwenzangu Muntadar al-Zaid. Mwenzangu walimvunja mbavu ila mimi labda ningeishia Mabwepande.