nkungu mwere
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 258
- 336
Nimejiunga na mtandao wa ttcl.kwa kauli mbiu ya rudi nyumbani kumenoga,lkn kinachonipata ni mateso tu,nilipojiunga mwanzoni nilikuwa nafaidi sana kwa kuwa mtandao ulikuwa full,lkn sasa mtandao wao haupandi tena,yaani ni 3G au 4G tu,ile H+ haipatikani tena na ikija ni sekunde inapotea,hivyo huwezi fungua hata you tube,nimepiga cm zaidi ya mara 6 majibu yao yote yamefanana,naandika haya kwa kutumia mtandao wa AIRTEL ambao uko full,nionavyo mimi TTCL IMESHINDWA KUSHINDANA MAPEMAAA