Meja Jenerali Isamuhyo JF-Expert Member Joined May 20, 2017 Posts 3,103 Reaction score 9,591 Jul 16, 2022 #1 Nimekuta lori liko hivyo natakiwa nilitoe. Naona kabisa u-jobless ukiendelea.
Wilfred Ramadhan JF-Expert Member Joined Apr 7, 2022 Posts 503 Reaction score 909 Jul 16, 2022 #2 😂mkuu awa wana visasi na wewe
Masai wa Town JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 6,543 Reaction score 23,844 Jul 16, 2022 #3 Utumishi wanachekesha sana
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 6,056 Reaction score 7,518 Jul 16, 2022 #4 Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi.
Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi.
E eddy JF-Expert Member Joined Dec 26, 2007 Posts 17,080 Reaction score 12,300 Jul 17, 2022 #5 kizaizai said: Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi. Click to expand... Mkuu njoo upate Gari prime fuel, kabisa shusha jack chomoa horse, iwekeni sawa, koa gear, Second, katakana corner kulia, Anza kuchekeacha, easy tu
kizaizai said: Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi. Click to expand... Mkuu njoo upate Gari prime fuel, kabisa shusha jack chomoa horse, iwekeni sawa, koa gear, Second, katakana corner kulia, Anza kuchekeacha, easy tu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 165,780 Reaction score 184,644 Jul 17, 2022 #6 Je ulifanikiwa kulitoa?
atlas copco JF-Expert Member Joined Jun 15, 2015 Posts 8,545 Reaction score 9,774 Jul 17, 2022 #7 Anza kuchekecha hapo hapo lilipo unatoka
Shin Lim JF-Expert Member Joined Mar 27, 2012 Posts 8,080 Reaction score 14,775 Jul 17, 2022 #8 Kwenye Euro Truck Simulator linatoka, ila kwenye uhalisia sijui hata passo.
Rhz4567 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2018 Posts 5,122 Reaction score 6,972 Jul 17, 2022 #9 Hapo ndy akili ya kujiajiri itarudi kichwani
Masai wa Town JF-Expert Member Joined Apr 9, 2017 Posts 6,543 Reaction score 23,844 Jul 17, 2022 #10 Rhz4567 said: Hapo ndy akili ya kujiajiri itarudi kichwani Click to expand... Kwa kweli
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,668 Reaction score 13,868 Jul 17, 2022 #11 Teko Modise said: Nimekuta lori liko hivyo natakiwa nilitoe. Naona kabisa u-jobless ukiendelea.View attachment 2293246 Click to expand... Unatoa alafu unaambiwa rudishia ulivyokuta
Teko Modise said: Nimekuta lori liko hivyo natakiwa nilitoe. Naona kabisa u-jobless ukiendelea.View attachment 2293246 Click to expand... Unatoa alafu unaambiwa rudishia ulivyokuta
mlima wa mizeituni JF-Expert Member Joined Sep 7, 2019 Posts 1,385 Reaction score 2,454 Jul 17, 2022 #12 Hata aliyetoka NIT leo analitoa!
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 43,786 Reaction score 103,680 Jul 18, 2022 #13 Hapo unapita na huo ukuta tuu hakuna namna
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,077 Reaction score 122,413 Jul 18, 2022 #14 Hawana nia ya kukupa ajira hao.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,561 Jul 18, 2022 #15 Chen Hu said: Kwenye Euro Truck Simulator linatoka, ila kwenye uhalisia sijui hata passo. Click to expand... Huku kwenye Simulator kila mtu Davo, tena Madavo tuliobobea.
Chen Hu said: Kwenye Euro Truck Simulator linatoka, ila kwenye uhalisia sijui hata passo. Click to expand... Huku kwenye Simulator kila mtu Davo, tena Madavo tuliobobea.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,561 Jul 18, 2022 #16 Shadeeya said: Hawana nia ya kukupa ajira hao. Click to expand... Huo ndio usaili kwa vitendo baada ya kufaulu wa kuandika, ukifaulu hapo tena unaingia wa kuhojiwa. Kibaya zaidi unaweza kukuta wana mtu wao mfukoni ila wengine mnasoteshwa ili kuhalalisha process
Shadeeya said: Hawana nia ya kukupa ajira hao. Click to expand... Huo ndio usaili kwa vitendo baada ya kufaulu wa kuandika, ukifaulu hapo tena unaingia wa kuhojiwa. Kibaya zaidi unaweza kukuta wana mtu wao mfukoni ila wengine mnasoteshwa ili kuhalalisha process
Determinantor Platinum Member Joined Mar 17, 2008 Posts 61,194 Reaction score 99,925 Jul 18, 2022 #17 kizaizai said: Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi. Click to expand... Watakutoa nduki balaa
kizaizai said: Shusha zile jeki za chini ya trailer chomoa hiyo cabin, ilete mbele sawia na trailer unganisha, mambo safi. Click to expand... Watakutoa nduki balaa
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,077 Reaction score 122,413 Jul 18, 2022 #18 Mwifwa said: Huo ndio usaili kwa vitendo baada ya kufaulu wa kuandika, ukifaulu hapo tena unaingia wa kuhojiwa. Click to expand... Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee. Kibaya zaidi unaweza kukuta wana mtu wao mfukoni ila wengine mnasoteshwa ili kuhalalisha process Click to expand... Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii.
Mwifwa said: Huo ndio usaili kwa vitendo baada ya kufaulu wa kuandika, ukifaulu hapo tena unaingia wa kuhojiwa. Click to expand... Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee. Kibaya zaidi unaweza kukuta wana mtu wao mfukoni ila wengine mnasoteshwa ili kuhalalisha process Click to expand... Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii.
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,718 Reaction score 126,561 Jul 18, 2022 #19 Shadeeya said: Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee. Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii. Click to expand... Huyo hawezi kusota, mnaosota manajikuta hamjaitwa na kubaki kujipa moyo kuwa huenda majina yamewekwa kwenye kanzidata ili baadae nafasi zikipatikana mpangiwe vituo. Connectiona ni nzuri kwa yule mwenye nayo, kwa yule ambaye hana ni tabu sana
Shadeeya said: Ila huo ni kigongo mdogo wangu yaani hapo waeza pagawa aisee. Ajira za Kibongo bongo tushajizoelea na si ajabu yule mtu wao hata robo ya huo msoto hapitii. Click to expand... Huyo hawezi kusota, mnaosota manajikuta hamjaitwa na kubaki kujipa moyo kuwa huenda majina yamewekwa kwenye kanzidata ili baadae nafasi zikipatikana mpangiwe vituo. Connectiona ni nzuri kwa yule mwenye nayo, kwa yule ambaye hana ni tabu sana