Nimeitwa kwenye Interview TICTS

Nimeitwa kwenye Interview TICTS

RUTUBA

Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
66
Reaction score
17
Kwa aliyewahi kufanya interview TICTS au mwenye kujua chochote anisaidie wakuu , nmeitwa hapo kwa ajli hyo, sijajua ni written or oral na zinakuaje
 
Baba kantuma kazini, ndo mana hawez sema ameitwa vp
 
ni Executive trainee zile walitangazag last time
 
Hebu nenda kasafishe nyota kwanza kwa waganga, usijeenda huko kienyeji itakula kwako!
 
Kwani wewe ulisoma na Riz Mkwawa mpka uitwe TISS au baba yko alwatan mjini.
 
Back
Top Bottom