Deodorant haipulizwi.πPole.
Hiyo ni deodorant. Inapuliziwa makwapani. Kuzuia joto na harufu ya jasho.
Siyo perfume wala siyo spray. Jijengee tabia ya kusoma maelekezo. Kwa chini kabisa imeandikwa 'soft, smooth and beautiful underarms'.
Bado lina thamani usijali, mpelekee fundi koroboi atakutengenezea taa nzuri sana(royal bedside lamp).Nilienda shop nikakutana na hii kitu nikamuuliza muuza duka ni mdogo tu (wa kiume) nazani kawekwa hapo shop kama mfanyakazi nikanogewa na ili kopo nikamuuliza kwani hii ni spray akaniambia ndio nikanusa juu ya kizibo nikaona inanukia poa bei sh elfu sita.
Jana kulikuwa na pati somewhere nikavaa gauni langu jeusi nzuri kabisa, nikasema ngoja sasa nichukue spray nipulizie kwenye gauni nikashangaa kuona sehemu zote nilizopulizia zina asili ya unga unga sasa nauliza hii ni kitu gani jamani au inatumika kwenye nini? "Nimesoma comment zenu mmeniambia ya kwapani,nimejaribu kupulizia kwapani mbona kwapa linakuwa jeupe kama powder kwaiyo nikishapuliza naacha ivyo ivyo ayo mapowder?
kwa waingereza, aendelee kujifukizia udi na ubani wake.Sema siyo kosa lake,kopo lenyewe limeandikwa Kingereza.
Pepani alongosi.Next time usirudie utababuka kwapa
Yewo dumbuPepani alongosi.
Ni screen shotCamera.. ya tecno spark 1.
Mkuu!! Umezoea deodorant za elf5 tu eti??Deodorant haipulizwi.π
Sema hupulizi wewe.Deodorant haipulizwi.π
Kazoea lambisha kwapa.Mkuu!! Umezoea deodorant za elf5 tu eti??
Kuna za kiduara
Stick
Na spray.. mostly nimeona ni za Nivea, kopo jeupe na blue.
Tulimakola adona wa Kuchirumba.Yewo dumbu
mulimakola imwe?
Kwali tikumanyana? Kkkkk chalo ichi mmmhTulimakola adona wa Kuchirumba.