Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,551
Habari za usiku mabibi na mabwana
Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa
Kwahiyo msiponiona mazima msishangae wapendwa ndoivo nitakua nishakufa mwenzenu sio mimi tena.
Labda wakiri wangu akate rufaa ila hukumu ishatoka nanyongwa mimi
Nichukue nafasi hii kuomba radhi yeyote yule niliemkwaza kumkosea intentionally or unintentionally..
Tusiache kuombeana ndugu
Amani tele itawale mioyoni mwenu. Amina
Smart911 sweetheart I don't know how my life would be without you. You are my everything Smart911 my everything.......
love you sana
Mpaka muda huu naandika uzi huu mwenzenu sijielewiiii kabisaaaaa na nahisi nibora nijilipue mwenyewe kuliko kitendo cha kunyongwa
Kwahiyo msiponiona mazima msishangae wapendwa ndoivo nitakua nishakufa mwenzenu sio mimi tena.
Labda wakiri wangu akate rufaa ila hukumu ishatoka nanyongwa mimi
Nichukue nafasi hii kuomba radhi yeyote yule niliemkwaza kumkosea intentionally or unintentionally..
Tusiache kuombeana ndugu
Amani tele itawale mioyoni mwenu. Amina
Smart911 sweetheart I don't know how my life would be without you. You are my everything Smart911 my everything.......
love you sana