Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
QUID PRO QUO
NIPE NIKUPE
HASA MWEZI HUU
Nimekuwa na tahadhari sana kujibu meseji za Wanawake ambao wanaanza kukutafuta wenyewe kwenye simu, kwa Emoji nyingi za Vicheko huku Wakituma picha zao - hasa picha wakiwa Uchi
Kila nikijibu meseji za namna hiyo, au nikasifia picha iliyotumwa, haimaliziki Siku kabla sijaletewa Bill mezani,
MARA GESI IMEISHA MME WANGU YUKO KWENYE MAFUNZO NISAIDIE...
Mara Nisaidie Kodi
Mara nisaidie nikafanye Interview Sijui wapi huko..
Mara Nataka nikawaone Wazazi
Mara Graduation yangu Keshokutwa
Mara hivi mara vile ilimradi kero
Na si kwamba hawa watu hawana kazi kabisa, Wengi wana kazi nzuri na Wanalipwa vizuri tu
So nao niko makini sana kusoma kila meseji between the lines! WANAWAKE WAKO KIMASLAHI ZAIDI KULIKO TUNAVYOWACHUKULIA, Hawa ndugu zetu si wajinga!
HALI INATISHA KWA KWELI!
NIPE NIKUPE
HASA MWEZI HUU
Nimekuwa na tahadhari sana kujibu meseji za Wanawake ambao wanaanza kukutafuta wenyewe kwenye simu, kwa Emoji nyingi za Vicheko huku Wakituma picha zao - hasa picha wakiwa Uchi
Kila nikijibu meseji za namna hiyo, au nikasifia picha iliyotumwa, haimaliziki Siku kabla sijaletewa Bill mezani,
MARA GESI IMEISHA MME WANGU YUKO KWENYE MAFUNZO NISAIDIE...
Mara Nisaidie Kodi
Mara nisaidie nikafanye Interview Sijui wapi huko..
Mara Nataka nikawaone Wazazi
Mara Graduation yangu Keshokutwa
Mara hivi mara vile ilimradi kero
Na si kwamba hawa watu hawana kazi kabisa, Wengi wana kazi nzuri na Wanalipwa vizuri tu
So nao niko makini sana kusoma kila meseji between the lines! WANAWAKE WAKO KIMASLAHI ZAIDI KULIKO TUNAVYOWACHUKULIA, Hawa ndugu zetu si wajinga!
HALI INATISHA KWA KWELI!