Nimefurahi marekebisho yamefanyika

Nimefurahi marekebisho yamefanyika

Abdull Kazi

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
344
Reaction score
306
Juzi nilipost hapa namna akaunti binafsi ya Rais wa Zanzibar kwenye Chanel ya WhatsApp,inavyotoa taarifa yake kama na yeye anaripoti badala ya kueleza kile alichofanya

Baada ya hapo nimeona kuna mabadiliko makubwa na sasa akaunti inaripoti vizuri na msemaji anaona ni taarifa ya moja kwa moja inayosemwa na Mwinyi badala ya kuonana na yeye anaripoti

Naamini vichomi wamefanya kazi nzuri ya kupitia na kuchukua Yale wanayoona yanamjenga kiongozi na kuilinda hadhi yake
 
Back
Top Bottom