Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,733
- 11,473
20m unapataSasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
utajuta kuzaliwa utakavyoshambuliwaJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
We katoto kajinga sana angalia usiropokwe ropokwe hovyo ongea kitu ambacho kiko ndani ya uwezo wakoMagari ya walimu? Wayatoe wapi! Niletee mwalimu anaemiliki gari ata ya 20m nikupe mara mbili ya hiyo
Safi sana,,huyo dogo ana IQ ndogo sana.Ni kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.
Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha kuthamini watu kutokana na vitu au vyeo vyao.
Hao unaowadharau nafasi zao zimeridhika na huenda wanamaisha ya furaha kukuzidi.
Ofcz mke mke wangu ni mwalimu na anaipenda sana kazi yake. Kwahiyo bwana mdogo uwe na heshima kwa wake na waume za watuMadam punguza hasira
Mwenyezi Mungu akubariki sanaNi kweli sipendi ualimu ila ni kazi nnaiheshimu sana. Ni kazi Baba ameweza kuendesha maisha yetu Hadi mauti ilipomfika, lakini kupitia kazi hiyo nimejifunza mengi ambayo yamenifanya niwe hivi nilivyo Leo.
Ila unakazi kubwa sana ya kufanya kwenye maisha Yako, jifunze utu na ubinadamu, acha kuthamini watu kutokana na vitu au vyeo vyao.
Hao unaowadharau nafasi zao zimeridhika na huenda wanamaisha ya furaha kukuzidi.
nani hasa anawaleta jf watu wajinga wajinga kama hao.Ofcz mke mke wangu ni mwalimu na anaipenda sana kazi yake. Kwahiyo bwana mdogo uwe na heshima kwa wake na waume za watu
Ndio hao hao walikufundisha kuandika kwa kutamba na tambo humuJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
😄 🤣 😂 😆Mkuu hapo una Subaru mashauzi hivyo, ungekuwa na Rolls Royce tungepumua kweli?
Sisi trend. Readers na wenye kufanya maamuzi ya huko tuendako tunajua wazazi wengi watakuja tamani watoto wao wawe walimu!!Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Subaru xt used haifiki hata milion 30 mashauzi kama ya asha, je ungemiliki v8 si ungetukana kila mtuJuzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!
Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui
Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Sasa utashangaa Facebook unakuta page ya JF wameshare Mdau wa JF anasema Abcd, sasa Mdau mwenyewe ndio kama huyu tutusa.Eheeee smartphone ishandondokea mikononi mwa mjinga.
Saivi ukitaka kujua kiwango cha ujinga wa mtu mpe smartphone na bando alafu kaa usubiri matokeo.
Pengine walikua wanashangaa Tako Hilo kwanza bandiko lako ni la uongo na Kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa ni masikini kuliko hao walimu unaowasemea lakini zaidi sana unaonekana ni gay mzoefu una tafuta ramani tu hapa lushindo bhebheAhh mkuu sijawai ona watu wanshangaa kama wale
Ahahahah..wajinga wajinga waalimu au wajinga wajinga kama mleta mada?nani hasa anawaleta jf watu wajinga wajinga kama hao.
Mwenyezi Mungu akubariki sana