Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,575
- 3,106
Ni siku chache zimepita baada ya kutoka Dubai matembezi ya kufurahisha macho kidogo.
Huku nyumbani nimekutana na Binti mmoja wa kingoni ambaye nilimpenda tokea Moyo ulipomwona Kwa mara ya kwanza.Nilihisi damu imechangamka ghafla na vipepeo wanatembea na kuruka ruka ndani ya tumbo baada ya kumwona Kwa mara ya kwanza.
Basi nikajisemea liwe liwalo ngoja nitupie nyavu.Nashukuru Sana mtoto wa watu kanikubalia japo Kwa mbinde.
Anadai amemaliza chuo ila anasubiri ajira sasa nilichoamua kumfanya ni kumweka ndani ya geto tuishi wote.Nachosikitika ni kuwa Anadai vitu vya gharama na anataka nimtreat kama Malkia.Namfanyia mengi lakini haridhiki.Nimeamua kujiengua haraka Sana kutoka kwake.Nimekataa kuwa mtumwa wake pamoja na kuwa mtumwa wa ndoa.
###KATAA NDOA

###NDOA NI UTAPELI

Huku nyumbani nimekutana na Binti mmoja wa kingoni ambaye nilimpenda tokea Moyo ulipomwona Kwa mara ya kwanza.Nilihisi damu imechangamka ghafla na vipepeo wanatembea na kuruka ruka ndani ya tumbo baada ya kumwona Kwa mara ya kwanza.
Basi nikajisemea liwe liwalo ngoja nitupie nyavu.Nashukuru Sana mtoto wa watu kanikubalia japo Kwa mbinde.
Anadai amemaliza chuo ila anasubiri ajira sasa nilichoamua kumfanya ni kumweka ndani ya geto tuishi wote.Nachosikitika ni kuwa Anadai vitu vya gharama na anataka nimtreat kama Malkia.Namfanyia mengi lakini haridhiki.Nimeamua kujiengua haraka Sana kutoka kwake.Nimekataa kuwa mtumwa wake pamoja na kuwa mtumwa wa ndoa.
###KATAA NDOA


###NDOA NI UTAPELI


